Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
Asubuhi asubuhi toast mayai na jasho ya makende
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Wewe ni mrefu mpaka ni wewe huongezea jua makaa
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva