wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen
Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.