Abdi Kosar
@user1162
·
sasa
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
Asubuhi Asubuhi kokoto na kumi kumi
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva