Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist
Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME