Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣
naskia UK on a gumbo sensitive ukikula mboco moja Una hara Mani ya beans
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Nasikia we ni mkonde mpaka uki turn una disappear