Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
NASKIA WEWE NI MZEE MPAKA NUNA MEA KITUNGU KWA MAKWAPA
Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction