ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka
Ati umekonda mpaka we hutumia elastoplast badala ya always
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.