wewe ni mfupi hadi unabebanga fifty bob kama mabati.
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
naskia shosh Yako Ako na mbio Hadi kwa mlango ameekewa bams
Asubuhi asubuhi harufu ya gumboot na BIG G