We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.