Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja