Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Sistako mshort aneza temebea chini ya bed