Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Una kichwa kubwa mpaka dream zako zushow in dolby surround.
Asubuhi asubuhi harufu ya gumboot na BIG G
We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia