First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack