Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
We m-ugly mpaka kipofu anavaa paperbag kukubinja
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine