nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
ATI we ni mkonde Hadi una miss mvua
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Nyanyako ni mdedli karate mpaka wasee wa F2 wakamchora ka baunsa