Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi
unakichwa bigi hadi ukidream unadream 7 in 1
wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu