wewe ni mweusi mpaka wameandika “scratch to reveal” kwa I.D yako
nasikia uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
We mzee na danda mbaka ulikuwa naso na onyato ati na ujamada form four bado