Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
ati nime sikia we ni munono adi uki faa shirti ya yellow una kaa school bus
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!