Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
naskia ukona mdomo kubwa hadi unakula ovacado kama njugu
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy