nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Ati uligongwa na gari ya TRUST instead ya kuumia ukanyonji
Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
Umezoea kutumia wasee please call me mpaka ukipress *130* simu ukutolea phone book ujichagulie.