ati wewe ni mblacki Hadi China ilikata iliku tengeneza
Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Ati siz yako ni mnono mpaka chali yake humshow ‘u r 2 in a million.
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME