kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaitisha chumvi
ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke