Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda