Mapua zako bigi, ukingia class charts zinaanza kudunda
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"