wewe ni mfupi hadi unabebanga fifty bob kama mabati.
Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao