First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi