unakichwa bigi hadi ukidream unadream 7 in 1
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Buda ako ni mjinga, first time kupanda ndege alisema shukisha junction
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt