Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma
We m-ugly mpaka kipofu anavaa paperbag kukubinja
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.