Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Mlango za gari yenyu huwa zinafungwa na vifungo za shati
uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon