nyumba yenu imetengenezwa na matope.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Kwenu nyinyi ni wagesi mpaka coackroach zinademonstrate juu ya njaa
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Kwenu muko wengi mpaka buda wenu ametengeza roundabout kwa hao.