Victor Karanja
@victor_karanja
·
Alo
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”