Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
nasikia wewe ni mfupi mpaka wajua pahali shetani anaficha chupi
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa