Collins Muindi
@user1417
ยท
๐น๐น๐๐
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
Una incisors ndefu adi ukisneeze unajichimba kifua