Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Paka yenyu imeona mamovie mpaka ikifuata panya inalia tereng! tereng!
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Una kichwa kubwa mpaka dream zako zushow in dolby surround.