Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.