huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.
We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya