Xñèñóz ẞãñtàgé
@user2131
·
ni nn
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
wewe ni mweusi mpaka wameandika “scratch to reveal” kwa I.D yako
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack