wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
Asubuhi asubuhi harufu ya gumboot na BIG G
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima