Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela