First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Doggy yenu imebeat hadi iki bark lazima ijishikilie kwa ukuta.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle