Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate