Ati wee ni mnono mpaka ukikalia kiti inasema paxes
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia
Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers