Ati wewe nimchafu mpaka ukiingia kwa lake kuswim, fish zinatoka kutema mate
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump