Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Manzi yako ame beat hadi badala ya kupelekwa extreem make ova, alipelekwa panel beating!
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu