Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Ati uligongwa na gari ya TRUST instead ya kuumia ukanyonji
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
wewe ni mjinga… mpaka ulirepeat kunyonya.