Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Ati umekonda mpaka we hutumia elastoplast badala ya always
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME