Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
We m-ugly mpaka kipofu anavaa paperbag kukubinja
Mapua zako bigi, ukingia class charts zinaanza kudunda
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
umenona hadi ukivaa t-shirt ya green unakaa kibanda ya mpesa