Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi
nasikia gari yenu imezeeka hadi inavurutua na punda
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa