naskia nyi mmesota mpaka munapika chapo side moja
naskia ukona mdomo kubwa hadi unakula ovacado kama njugu
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle