wewe ni msupa tu sana
ety ww n mrefu Hadi unagotea mungu
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!